Tanroads Kigoma yatoa maelezo mipasuko mikubwa kwenye barabara
Choma amesema Tanroads tangu Februari 24, 2024 walipewa taarifa na mkandarasi mshauri, Kampuni ya Sila kutoka nchini Mali ikishirikiana na Kampuni ya Kitanzania ya Nibu, kwamba wameanza kuona...